MZIGO MPYA: Sony Xperia Z1 (64GB) π₯
Unatafuta simu yenye muonekano wa kitalamu na kamera ya uhakika kwa bei nafuu? MunirDealsHub tumekusogezea Sony Z1, simu imara na yenye kasi!
Sifa Muhimu:
πΎ Storage: 64GB (Nafasi ya kutosha picha na files).
πΈ Kamera: 20.7MP (Picha safi kabisa).
π± Display: Full HD (Inaonyesha picha kwa uzuri sana).
π Battery: Imara, inakaa na chaji vizuri.
π° BEI YA OFA: TZS 180,000/= TU!
π FIKA DUKANI KWETU: Kariakoo, Uhuru Plaza, Ghorofa ya 1, Duka No. 20. (Ukifika Uhuru Plaza, panda Ngazi Nyekundu moja kwa moja utatuona).
π MAWASILIANO: Piga/WhatsApp: 0687823148 / 0625269231 Mikoani tunatuma kwa usalama na uhakika! π

Maoni
Chapisha Maoni