Samsung Galaxy Note 10 Plus (256GB) Full Box - Bei ni 500,000/= Tu! Ofa ya Leo Kariakoo


 PREMIUM OFFER: Samsung Galaxy Note 10+ Full Box πŸ”₯

MunirDealsHub tumekuletea mnyama wa kazi, Galaxy Note 10 Plus. Hii ni simu kwa ajili ya wafanyabiashara na wapenzi wa picha wanaotaka kioo kikubwa na uwezo wa S-Pen. Mzigo unakuja na box lake na vifaa vyake vyote!

Sifa Muhimu za Note 10+:

  • Storage: 256GB Internal Storage (Nafasi kubwa sana ya mafile).

  • RAM: 12GB (Inakimbiza, haigandi hata ufanye kazi nzito).

  • Kioo: 6.8 inches Dynamic AMOLED (Kioo kikubwa na rangi halisi).

  • S-Pen: Peni ya kishua kwa ajili ya kuandika na kupiga picha.

  • Condition: Full Box (Imenyooka kabisa na vifaa vyake).

πŸ’° BEI YA OFA: 500,000/= TZS


πŸ“ FIKA DUKANI KWETU: Kariakoo, Uhuru Plaza, Ghorofa ya 1, Shop No. 20. (Panda kwa Ngazi Nyekundu utatuona moja kwa moja).

πŸ“ž MAWASILIANO: 0687823148 / 0625269231

Maoni